Amesema hadi sasa hakuna pingamizi lolote la kisheria lililoletwa mezani kwa ajili ya pingamizi kisheria la uchaguzi wa Marudio,amesema wananchi wamegubikwa na ushabiki bila kufuata kanuni na sheria za uchaguzi,uchaguzi utafanyika kwa mujibu wa sheria na amewataka wananchi kujitokeza kwa amani na utulivu kuhakikisha wanapata viongozi bora.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment