Msanii wa
bongo fleva H_dizzo amewaomba wadau radhi kwa kushindwa kukamilisha ahadi yake ya kutoa video Za nyimbo zake # Sitamani mwingine#Nimerudi tena alizozifanya katika studio za Madebeni Rec chini ya C.o Producer:Jb Feeling
kama alivyokuwa ameahidi kuzitengeneza na
kuzitambulisha kabla ya mwezi wa nne.
UNAWEZA
KUMSILIKIZA HAPO CHINI :
Lakini kwa
upande mwingine ameamua kutuachia kazi zake hizo kwa upande wa audio unaweza
kuzisikiliza hapa.
# SITAMANI MWINGINE AUDIO
# AUDIO NIMERUDI TENA _H DIZZO
Kumekuwa na changamoto ya wasanii chipukizi kukamilisha mipango ya kufanya video haswa chipukizi kwa hapa Tanga wakiwa na advantage ya kuwa na kituo cha television ambacho kina toa mchango mkubwa katika kuzirusha kazi zao hapa nyumbani TANGA TV mbali ya Tanga na maeneo mengine pia hii inachangiwa na hali duni ya kipato ilhali wakiwa wanatamani kufanikiwa katika tasnia hii ,kuna haja ya wadau wanaoguswa (MANAGEMENT) kusupport vipaji hivi kwa kuwa push angalau kwa kidogo walichonacho ili kuviendeleza , lakini kwa upande mwingine kuna haja pia ya wasanii kuangalia upepo umekaaje isiwe kila mmoja anatamani kafanya music wengine wawe wasikilizaji tu, ili kutokuruhusu upotezaji wa muda mwingi katika shughuli ambayo hutoimudu.
@H_Dizzo contact_+255-718 1201 36
0 comments:
Post a Comment