TIMU YA SIMBA NA COASTAL UNION WAMEPIGWA FAINI YA LAKI TANO TANO KWA KUENDEKEZA MASWALA YA KISHIRIKINA ##

TIMU YA SIMBA NA COASTAL UNION KUTOKA HAPA NYUMBANI  TANGA WAMEPIGWA FAINI YA LAKI TANO TANO  KATIKA MCHEZO NAMBA 7  ULIKIOCHEZWA UWANJA  WA TAIFA DAR ES SALAAM KWA KUENDEKEZA MASWALA YA KISHIRIKINA  LAKINI PIA TIMU YA YANGA IMEPIGWA FAINI YA LAKI TANO KWA MASHABIKI WAKE KUKOSA UUNGWANA KWA KUWARUSHIA CHUPA NA MAWE MASHABIKI  WA MTIBWA SUGAR

ZAIDI SIKILIZA HAPA ##
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment