na kuahidi kuwa Mshindi wa jezi ya nyumbani atapata sh. 1,000,000 (milioni moja), na mshindi wa jezi ya ugenini atapata pia sh. 1,000,000 (milioni moja)
TFF Imeanza zoezi la kupembua jezi zenyewe na imelirudisha kwako mwanamchezo kwa kuanzia na Bukta za ugenini: Chagua bukta uipendayo kuwa ya timu za Taifa .
Unaweza ukapiga kura yako kupitia link hiyo hapo:
http://tff.or.tz/bukta-za-ugenini-chagua-bukta-uipendayo-kuwa-ya-timu-za-taifa/
BUKTA ZA NYUMBANI :
http://tff.or.tz/bukta-za-nyumbani-chagua-bukta-uipendayo-kuwa-ya-timu-za-taifa/
WAKATI KWA UPANDE WA JEZI ZA NYUMBANI UNAPIGA KUPITIA LINK HII:
http://tff.or.tz/jezi-za-nyumbani-chagua-jezi-uipendayo-kuwa-ya-timu-za-taifa/
JEZI ZAUGENINI:
http://tff.or.tz/jezi-za-ugenini-chagua-jezi-uipendayo-kuwa-ya-timu-za-taifa/

0 comments:
Post a Comment