Ligi kuu vodacom iliendelea Leo na Jijini Dar es Salaam, Mganda Dan Sserenkuma aliifungia Simba Bao 2 na kuwapa ushindi wa Bao 2-1 walipocheza na JK Ruvu.
Bao za Simba zilifungwa Dakika za 1 na 48 wakati George Minja aliipa Bao pekee Ruvu JKT katika Dakika ya 19 Huko Morogoro, Bao la Dakika ya 66 la Said Bahanuzi liliwapa ushindi wa Bao 1-0 Polisi Morogoro walipocheza na Mbeya City huku huko Tanga, Mechi kati ya Coastal Union na Mtibwa Sugar ilimalizika 0-0.
Huko Mbeya, Prisons ilitoka Sare ya 1-1 na Kagera Sugar kwa Bao za Nurdin Chona na Rashid Mandawa.
Huko morogoro, bao la dakika ya 66 la said bahanuzi liliwapa ushindi wa bao 1-0 polisi morogoro walipocheza na mbeya city huku huko tanga, mechi kati ya coastal union na mtibwa sugar ilimalizika 0-0.
Huko mbeya,
prisons ilitoka sare ya 1-1 na kagera sugar kwa bao za nurdin chona na rashid
mandawa.
Mchezo
uliofanyika katika uwanja wa mkwakwani coastal union na mtibwa sukari hapa tanga
umekamilika dakika tisini timu zikitoshana nguvu ya bila kufungana
Mchezo ambao
ulikuwa na upinzani wa hali ya juu kwa pande zote kila mmoja akijaribu kuliwahi
lango na mwenzie pasipo mafanikio
MATOKEO:
Simba 2 JKT Ruvu 1
Coastal Union 0 Mtibwa Sugar 0
Tanzania Prisons 1 Kagera Sugar 1
Polisi Morogoro 1 Mbeya City 0
MATUKIO KATIKA PICHA KATI YA COASTAL UNION 0 vs. MTIBWA SUGAR 0
0 comments:
Post a Comment