LIGI KUU TANZANIA LEO COASTAL UNION 2 KAGERA SUGAR 2 # JKT RUVU 0 AZAM FC 1 ##

http://trustedmishen.blogspot.com/2015/03/ligi-kuu-tanzania-leo-coastal-union-2.htmlhttp://trustedmishen.blogspot.com/2015/03/ligi-kuu-tanzania-leo-coastal-union-2.htmlMATOKEO ZA MECHI ZA LEO

Coastal Union 2 Kagera Sugar 2  

JKT Ruvu 0 Azam FC 1

KIKOSI CHA COASTAL UNION
COASTAL Union imelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Kagera Sugar jioni hii Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Coastal ilikuwa ya kwanza kupata bao dakika ya sita, kupitia Suleiman Kibuta kabla ya Atupele Green kuisawazishia kagera Sugar dakika ya 52 akimalizia kona ya mkongwe George Kavilla.

Coastal ikafanikiwa kuongoza tena mchezo kwa bao la Rama Salim kwa penalti dakika ya 67, kufuatiwa Kibuta kuchezewa rafu na beki wa Kagera, Ibrahim Job.

Hata hivyo, kagera wakasawazisha kwa mara nyingine, mfungaji Enock Kyaruzi baada ya kazi nzuri ya Rashid mandawa dakika ya 85. Matokeo hayo yanaifanya kila timu ijiongezee pointi moja.
Kwa upande wa Azam BAO pekee la Didier Kavumbangu, limeipa Azam FC ushindi wa bao 1-0 dhidi
ya JKT Ruvu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam jioni ya leo.

 Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Burundi, Kavumbangu alifunga bao hilo dakika ya 17 kwa kichwa akimalizia krosi ya beki wa kulia, Shomary Kapombe.

Kavumbangu sasa anatimiza mabao tisa katika mbio za ufungaji bora, akifuatiwa na Rashid Mandawa wa Kagera Sugar mwenye mabao saba sawa na Abasalim Chidiabele wa Stand United.

Na kwa ushindi huo, Azam FC inatimiza pointi 30 baada ya mechi 16, ikizidiwa pointi moja na vinara, Yanga SC ambao hata hivyo wamecheza
mechi 15.

 Ligi itaendelea Jumapili ambapo kuna Mechi 3 ikiwemo Bigi Mechi, Dabi ya Kariakoo, katika ya Miamba Nchini wanaotoka Kitongoji hicho cha Kariakoo, Simba na Yanga, kukwaana Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.



RATIBA KESHO:

JUMAPILI MACHI 8

Mgambo JKT v Ndanda FC

Mtibwa Suga v Mbeya City 

Simba v Yanga

MSIMAMO:
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A

GD
PTS
1
Yanga
15
9
4
2
21
8

13
31
2
Azam FC
16
7
7
2
23
12

11
30
3
Kagera Sugar
18
6
7
5
15
15

0
25
4
Simba
16
5
8
3
20
12

8
23
5
Coastal Union
18
5
8
5
13
12

1
23
6
Mtibwa Sugar
16
5
7
4
17
16

1
22
7
Ndanda FC
17
6
4
7
16
19

-3
22
8
Stand United
17
5
6
6
16
18

-2
21
9
Ruvu Shooting
17
5
6
6
12
14

-2
21
10
JKT Ruvu
17
5
5
7
15
17

-2
20
11
Polisi Moro
17
4
7
6
13
16

-3
19
12
Mbeya City
16
4
6
6
11
15

-4
18
13
Mgambo JKT
15
5
2
8
8
16

-8
17
14
Tanzania Prisons
17
1
10
6
11
21

-10
13

Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment