Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za
mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa jimbo la Mbinga
Magharibi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.Kapteni Komba
anatarajiwa kuzikwa kijijini Kwake Litui wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma

Jeneza
lililobeba mwili wa marehemu Kapteni John Komba likiwa limebebwa
kuelekea kwenye jukwaa maalum kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam.

Familia ya Marehemu Kapteni John Komba ikiwa imesimama tayari kuupokea mwili wa marehemu kwenye viwanja vya Karimjee.
Ni huzuni kubwa kwa familia ya marehemu.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete (katikati)
akiwa pamoja na Makamu wa Rais Ghalib Bilal (kushoto) na Spika wa Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Makinda wakiwa kwenye viwanja
vya Karimjee ambapo mwili wa Marehemu Kapteni John Komba uliagwa na
Viongozi mbali mbali na wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akis
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete (kulia)
akizungumza na Makamu wa Rais Ghalib Bilal kwenye viwanja vya Karimjee
ambapo mwili wa Kapteni John Komba ulikuwa unaagwa .
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiimba wimbo maalum wakati wa
kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Kapteni John Komba aliyefariki
tarehe 28 februari 2015 jijini Dar es Salaam.
Viongozi
wa CCM pamoja na wanamuziki wa muziki wa dansi wakiimba kwa pamoja
nyimbo maalum wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Kapteni
John Komba.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa heshima ya mwisho kwa marehemu Kapteni John Komba .
Mzee Yusuf Makamba akifutmachozi wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Kapteni John Komba
Kada wa CCM na Mwanasiasa mkongwe nchi Kingunge Ngombale Mwilu akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Kapteni John Komba
Katibu wa NEC Idara ya Oganaizesheni CCM Dk. Mohamed Seif Khatib akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Kapteni John Komba
Waziri wa Mambo ya Nje na uhusiano wa Kimataifa Bernad Membe akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Kapteni John Komba
Viongozi
na wananchi kutoka sehemu mbali mbali wakiwa kwenye foleni ya kwenda
kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Kapteni John Komba kwenye viwanja
vya Karimjee.

Mbunge
wa Viti maalum mkoa wa Arusha Mheshimiwa Catheline Magige akiondoka
eneo la tukio baada ya kumaliza kutoa heshima zake za mwisho kwa
marehemu Kapteni John Komba.
Jeneza
lenye mwili wa aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi na Mjumbe
wa Halmashauri kuu ya CCM,Marehemu Kapteni John Komba likiwa kwenye
viwanja vya Karimjee,jijini Dar es salaam,wakati wa shughuli ya kuaga.
.jpg)
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakitoa heshima za mwisho
kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa jimbo la Mbinga
Magharibi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.Kapteni
Komba anatarajiwa kuzikwa kijijini Kwake Litui wilaya ya Nyasa Mkoani
Ruvuma.
Makamu wa Rais,Dkt. Mohamed Gharib Bilal na wake zake Mama Asha na Mama Zakhia wakitoa
heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa
jimbo la Mbinga Magharibi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam leo.
Rais Mstaafu wa awamu ya pili,Alhaj Ali Hassa Mwinyi akitoa
heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa
jimbo la Mbinga Magharibi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam leo.
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa na Mkewe Mama Anna Mkapa wakitoa
heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa
jimbo la Mbinga Magharibi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam leo.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa na Mkewe Mama Regina Lowassa wakitoa
heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa
jimbo la Mbinga Magharibi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam leo.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akiifariji familia ya marehemu.
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania,Luteni Kanali Samuel Ndomba akitoa
heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa
jimbo la Mbinga Magharibi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es
Salaam leo.
Waziri
wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera na Uratibu wa Bunge,Mh. Jenista
Mhagama akitoa heshima za mwisho akifuatana na Naibu IGP,Abdulrahman
Kaniki.
Kingunge Ngombale–Mwiru akitoa heshima za mwisho.
Kamanda Kova.
Baadhi wa Waheshimiwa Wabunge wakiifariji familia ya Marehemu.
Mhe. Ole Sendeka akibubujikwa na machozi kuondokewa na Mbunge mwenzake.
Familia ya Marehemu.
Watoto wa Marehemu Kapteni John Komba wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu baba yao.
Mjane wa Marehemu,Kapteni John Komba,Mama Salome Komba akiaga mwili wa mumewe
Khadija Kopa.
Umati
wa viongozi mbali mbali pamoja na wananchi wakiwa kwenye viwanja vya
Karimjee,jijini Dar es salaam wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa
marehemu Kapteni John Komba.
Waziri
wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera na Uratibu wa Bunge,Mh. Jenista
Mhagama akitoa salamu za Serikali wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa
marehemu Kapteni John Komba,mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi katika
viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii,Mh. Saidi Mtanda akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya Kamati yake.
Mbunge
wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari akitoa salamu za rambi
rambi kwa niaba ya kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni.
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza jambo na Mh. Joshua Nassari.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akitoa salamu za Chama.
Mh. Muhongo akitoka kuaga mwili wa Kapteni Komba.
Rais
Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa akisungumza jambo na Katibu
Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana.kushoto ni Spika wa Bunge,Mh. Anne
Makinda.
Mama Regina Lowassa akizungumza jambo na Mama Sophia Kawawa.
Mh. Mkapa akizungumza jambo na Mh. Anne Makinda.
Mjane wa Marehemu.
0 comments:
Post a Comment