RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA MAOMBOLEZO MSIBA WA KAPTENI JOHN KOMBA ,RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) KESHO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 IPO HAPA##

 Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Kapteni John Komba aliyefariki jioni ya tarehe 28 februari 2015 jijini Dar es salaam,kushoto ni mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete.
 Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole mke wa marehemu Kapteni John Komba nyumbani kwake Mbezi Tangi Bovu
 Wasanii wa TOT wakilia kwa uchungu msibani
 Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Fredrick Sumaye akisalimiana na wasanii wa TOT wakati akiwasili msibani.
 Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Fredrick Sumaye akisaini kitabu cha maombolezo kwenye msiba wa Kapteni John Komba.
 Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Fredrick Sumaye akimpa pole mke wa marehemu Kapteni John Komba.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa  Nape Nnauye akisaini kitabu cha maombelezo kwenye msiba wa Kapteni John Komba.
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Anna Makinda akisaini kitabu cha maombelezo ya msiba wa Mbunge wa Mbinga Magharibi Kapteni John Komba.


RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) KESHO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI


NA.
MUDA
TUKIO
MHUSIKA
1.
12:00 - 01:00
Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani
Kaimu Katibu wa Bunge
2.
01:00 - 04:00
Misa ya kuaga mwili wa Marehemu
Kanisa Katoliki,
Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
3.
04:00 - 04:30
·         Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika Viwanja vya Karimjee

·         Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao
Katibu wa Bunge
4.
04:33
Kiongozi wa Upinzani Bungeni  kuwasili
Kaimu Katibu wa Bunge
5.
04:36
Mhe. Naibu Spika kuwasili
Kaimu Katibu wa Bunge
6.
04:39
Mhe. Spika kuwasili
Mhe. Naibu Spika
7.
04:42
Mhe. Waziri Mkuu kuwasili
Mhe. Spika
8.
04:50
Mhe. Makamu wa Rais kuwasili
Mhe. Spika
9.
05:00
Mhe. Rais kuwasili
Mhe. Spika
10.
05:00
Mwili wa Marehemu kuwasili  kwa gwaride maalum la Sergeant-At-Arms
Katibu wa Bunge
11.
05:00 - 05:15
Sala fupi
Kanisa Katoliki,
Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
12.
05:15 - 05:20
Wasifu wa Marehemu
Kaimu Katibu wa Bunge
13.
05:20 - 05:30
Salamu na Rambirambi za Chama cha Mapinduzi (CCM)
Katibu Mkuu, CCM
14.
05:30 - 05:35
Salamu na Rambirambi kutoka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Kiongozi wa Upinzani Bungeni
15.
05:35 - 05:45
Salamu na Rambirambi za Serikali
Waziri Mkuu
16.
05:45 - 05:55
Salamu na Rambirambi za Uongozi wa Bunge
Mhe. Spika
17.
05:55 - 06:00
Neno la Shukrani toka kwa familia
Mwakilishi wa Familia
18.
06:00 - 06:15
Utaratibu wa safari
Kaimu Katibu wa Bunge
19.
06:15 - 07:15
Kuaga Mwili wa Marehemu kulingana na Itifaki
MC
20.
07:15
Mwili wa Marehemu kuondoka uwanjani kuelekea Uwanja wa Ndege
MC
21.
07:20 - 07:25
Viongozi wa Kitaifa kuondoka kulingana na Itifaki
MC
22.
07:40
Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege
Kaimu Katibu wa Bunge
23.
08:00
Mwili, Familia na Waombolezaji kuondoka kuelekea Songea
Kaimu Katibu wa Bunge
24.
10:00
Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndge Songea na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
25.
10:00 - 10:15
Mwili wa Marehemu kuelekea Uwanja wa Majimaji
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
26.
10:15 - 11:00
Mkuu wa Mkoa kuongoza wakazi wa Ruvuma kuaga mwili wa Marehemu
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
27.
11:00 - 01:00
Mwili wa Marehemu kuondoka Uwanja wa Majimaji kuelekea Lituhi, Nyasa
·         Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

·         Kaimu Katibu wa Bunge
28.
01:00
Mwili kuwasili nyumbani na taratibu za kifamilia kuendelea
MC
 
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment