UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA MUDA WA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3:00 USIKU WA LEO 10/03/2015.##



WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772
[Utabiri huu unahusu mkoa wa Tanga na maeneo jirani]

LEO USIKU:
Wilaya ya Tanga: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi.
Wilaya ya Muheza: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi.
Wilaya ya Pangani: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi.
Wilaya ya Korogwe: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi.
Wilaya ya Lushoto: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi.
Wilaya ya Handeni: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi.
Wilaya ya Kilindi: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi.

KESHO MCHANA
Wilaya ya Tanga: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
Wilaya ya Muheza: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
Wilaya ya Pangani: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
Wilaya ya Lushoto: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
Wilaya ya Handeni: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
Wilaya ya Kilindi: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.


[Mkoa wa Morogoro(kusini)]:



Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.



[Mikoa ya Kilimanjaro, Manyara na Arusha]:
[Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani]:
[Mkoa wa Morogoro(kaskazini)]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:




Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.


VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA.
MIJI
KIWANGO CHA JUU
KIWANGO CHA CHINI
MAWIO
MACHWEO
Tanga
33°C
25°C
12:30
12:38
Muheza
33°C
25°C
12:30
12:38
Pangani
32°C
24°C
12:30
12:38
Lushoto
26°C
16°C
12:34
12:42
Korogwe
32°C
22°C
12:34
12:42
Handeni
32C
20°C
12:34
12:42
Kilindi
31°C
20°C
12:34
12:42

Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 10/03/2015.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment