ADEBAYOR APEWA MAPUMZIKO YA KUSULUHISHA MGOGORO WAKE NA FAMILIA##

Emmanuel Adebayor
Mchezajii wa kilabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor amepewa mapumziko kwa mara ya pili msimu huu lakini hatma yake katika kilabu ya Spurs haijulikani.
Mchezaji huyo wa taifa la Togo mwenye umri wa miaka 31 ameandika kuhusu matatizo ya famili yake katika mtandao wa facebook na kusema kuwa alikuwa ameamua kujiuua.
Atakosa mechi ya siku ya jumapili kati ya kilabu yake na Everton mbali na ziara ya Kuala Lumpur na baadaye nchini Sidney.
''Tumempa mda wa kusuluhisha mzozo na familia yake'',alisema kocha wa kilabu hiyo Mauricio Pochettino.Ni miasha yakje ya kibinafsi .Niliongea naye mapema wiki hii,ni hali ngumu kwake''.
Adebayor alijiunga na klabu ya Spurs mwaka 2011 kutoka Manchester City kupitia mkopo kabla ya mabao 18 aliyofunga akiwa na Hotspurs kumwezesha kupewa kandarasi ya kudumu.
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment