MATUKIO NJEE YA BUNGE DODOMA KWA NJIA YA PICHA LEO ##

bu1 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudencia Kabaka kwenye viwanaj vya Bunge mjini Dodoma Mei 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) bu2 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijadili jambo na Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi kwenye viwanja vya Bunge Mei 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) bu3 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge wa Viti Maalum, Christawaja Mtinda (kushoto) na Christina Lissu  Mughwai a(katikati) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma  Mei15, 2015
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment