Diamond ameshinda tuzo nyingine kwenye tuzo za AFRICAN ACHIEVERS AWARDS 2015 zilizotolewa
Afrika Kusini ambako pia Diamond alihudhuria.
Rais Jakaya Kikwete
alishinda tuzo ya Uongozi bora na ikapokelewa na Dr. Asharose Migiro huku Diamond
akichukua ya Artist of the Year kwa
mujibu wa Salam.
![]() |
RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE |
Ni tuzo ambazo zimekua zikitambua michango mbalimbali ya
watu mbalimbali waliofanya bidii au kuleta mabadiliko kwenye jamii yao na
zimekua zikitolewa kwenye vipengele mbalimbali kama kwa kampuni za simu, Mwanamichezo
wa mwaka, Mwandishi wa habari wa
mwaka, Kiongozi bora wa mwaka
na nyingine.
0 comments:
Post a Comment