WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
TANZANIA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA MUDA
WA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3:00 USIKU WA LEO TAREHE: 25/07/2015.
[Utabiri huu unahusu
mkoa wa Tanga na maeneo jirani]
LEO USIKU:
Wilaya ya Tanga: Inatarajiwa kuwa na hali ya Mawingu kiasi.
Wilaya ya Muheza: Inatarajiwa kuwa na hali ya Mawingu kiasi.
Wilaya ya Pangani: Inatarajiwa kuwa na hali ya Mawingu kiasi.
Wilaya ya Korogwe: Inatarajiwa kuwa na hali ya Mawingu kiasi.
Wilaya ya Lushoto: Inatarajiwa kuwa na hali ya Mawingu kiasi.
Wilaya ya Handeni: Inatarajiwa kuwa na hali ya Mawingu kiasi.
Wilaya ya Kilindi: Inatarajiwa kuwa na hali
ya Mawingu kiasi.
KESHO MCHANA
Wilaya ya Tanga: Inatarajiwa kuwa na hali
ya Mawingu kiasi, mvua nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
Wilaya ya Muheza: Inatarajiwa kuwa na hali
ya Mawingu kiasi, mvua nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
Wilaya ya Pangani: Inatarajiwa kuwa na hali
ya Mawingu kiasi, mvua nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
Wilaya ya Lushoto: Inatarajiwa kuwa na hali ya Mawingu kiasi, mvua nyepesi katika Maeneo
machache na vipindi vya jua..
Wilaya ya Handeni: Inatarajiwa kuwa na hali ya Mawingu kiasi, mvua nyepesi katika Maeneo
machache na vipindi vya jua.
Wilaya ya Kilindi: Inatarajiwa kuwa na hali
ya Mawingu kiasi, mvua nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Arusha, Manyara na
Kilimanjaro]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dodoma, Singida na Morogoro]:
[Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA.
MIJI
|
KIWANGO CHA JUU
|
KIWANGO CHA CHINI
|
MAWIO
|
MACHWEO
|
Tanga
|
29°C
|
22°C
|
12:35
|
12:25
|
Muheza
|
29°C
|
21°C
|
12:35
|
12:25
|
Pangani
|
28°C
|
20°C
|
12:35
|
12:25
|
Lushoto
|
24°C
|
13°C
|
12:35
|
12:25
|
Korogwe
|
28°C
|
17°C
|
12:35
|
12:25
|
Handeni
|
24°C
|
17°C
|
12:35
|
12:25
|
Kilindi
|
27°C
|
17°C
|
12:35
|
12:25
|
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe: 25/07/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA
TANZANIA.
0 comments:
Post a Comment