BIVO ROZA MSANII WA KIKE ANAYEIWAKILISHA TANGA AWAOMBA WATANZANIA WAENDELEE KUIDUMISHA AMANI ## .

Moja kati ya wasanii wakike wanaouwakilisha mkoa wa Tanga kiburudani akiwa ni mmiliki halali wa wimbo wa mama aliomshirikisha _Kizzy Kiddy__Producer akiwa ni issam touch _@AIS music  amepata fulsa ya kuzungumzia NA BONGOBAB KUBWA  kwa siku ya leo akikumbushia swala zima la amani kama ambavyo linavyoendelea kuchukua sura mpya katika juma hili katika  vyombo mbalimbali kwa kulitilia  mkazo swala hili kupitia siku ya amani dunia .

Ikikumbukwa kwamba WAKATI Katibu Mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki-moon anahimiza serikali duniani kutafuta chanzo cha kukosekana kwa amani na kuongezeka kwa watu wenye misimamo mikali, wasemaji katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa amani Duniani wameitaka serikali ya Tanzania kutupia macho makali mauaji ya albino nchini .

Huku wa upande wa msanii bivo roza akielezea kuwa "amani ni kitu muhimu   sana hivyo kukidumisha ni muhimu sana kwasababu bila amani  nadhani hata hivi tunavyoishi hivi  sidhani kama tungeishi  hivi  kama tungekuwa hatuna  amani japo kuwa tunaona kabisa kwamba kuna migogoro inaweza kutokea mbele ya safari ila inabidi tumuombe mungu ili amani yetu iendelee kudumu ameeleza bivo "

kama hujapata fulsa ya  kuusikiliza wimbo wake aliomsifia mama na kumshukuru kama ambavyo wengi wana appreciate kuwa "hakuna kama mama "unaweza kuusikiliza hapo chini .
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment