JE! WEWE NI MWANA NDOA? UNAJUA HAKI NA WAJIBU WA WANANDOA KWA MUJIBU WA SHERIA YA NDOA YA MWAKA 1971? SIKILIZA UJUMBE HUU KUTOKA CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TANZANIA USIPITWE NA ELIMU HII. ##



Moja ya kazi kubwa wanazozifanya "TAWLA "- chama cha wanasheria wanawake  ni kuhakikisha wanatoa elimu katika jamii kwa namna moja  au nyingine  wakitambua kuwa  haki haina jinsia  na kinachohitajika ni  usawa kwa kila jinsia.

Kupitia  vipindi vyao vikubwa vinavyoendeshwa hapa nchini vikijulikana kwa jina la  ‘itambue  haki yako’ nilifanikiwa kunasa moja ya somo zuri kabisa likiwahusu wanandoa  somo ambalo linafundishwa na  mama  veronika  holela  – mwanasheria kutoka chama cha wanawake wana sheria (TAWLA)

JE UNAFAHAMU NINI MAANA YA NDOA? …….
 
JIBU: NDOA   NI MUUNGANO KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME AMBAO UNATAKIWA KUDUMU KWA MUDA WOTE.


SIKILIZA HAPA / 
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment