PICHA ZA KAMPENI YA UPIMAJI WA AFYA ZA WATOTO NA WAZEE ILIYOENDESHWA NA MFUKO WA BIMA YA AFYA NHIF JANA. ##

Kushoto ni Mganga Mkuu wa kituo cha Afya Makorora jijini Tanga,Jestina Msumari akimpia urefu mtoto Andrew William mkazi wa Chumbangeni ikiwa kampeni ya kupima afya za watoto waliochini ya
miaka mitano na wazee walio na umri wa juu ya miaka 60 iliyoanzishwa na Mfuko wa bima ya Afya mkoa wa Tanga(NHIF) jana kushoto ni Meneja waMfuko huo,Ally Mwakababu,
 Mganga Mkuu wa kituo cha Afya Makorora jijini Tanga,Jestina Msumari akimpia urefu mtoto Jumanne Mohamed ikiwa kampeni ya kupima afya za watoto waliochini ya miaka mitano na wazee walio na umri wa juu ya miaka 60 iliyoanzishwa na Mfuko wa bima ya Afya mkoa wa Tanga(NHIF) jana kushoto ni Meneja wa Mfuko huo,Ally Mwakababu
Mganga Mkuu wa kituo cha Afya Makorora jijini Tanga,Jestina Msumari akimpia urefu mtoto Aisha Juma ikiwa kampeni ya kupima afya za watoto waliochini ya miaka mitano na wazee walio na umri wa juu ya miaka 60 iliyoanzishwa na Mfuko wa bima ya Afya mkoa wa Tanga(NHIF)kushoto ni Meneja wa Mfuko huo mkoa wa Tanga,Ally Mwakababu,
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment