
Akizungumza na
waandishi wa habari jiujini dar es salaam Mkurungenzi wa mashindano wa TFF BONIFASI WAMBURA ,amesema kuwa mechi iliyokumbwa na changamoto hiyo
ni mechi kati ya yanga na mtibwa sugar ambapo watu wengi walifika
uwanjani lakini huwakukata tiketi.
Zaidi na Wambura
Kozi ya utawala wa mpira wa miguu inayowashirikisha makatibu wa
vyama vya mpira wa miguu wa wanawake wa mikoa imeanza jana katika
viwanja vya karume jijini dar es salaam chini ya mkufunzi wa fifa Anduru
Tandau
TAARIFA ZAIDI
Shirikisho la soka
nchini limetoa hati ya uhamisho wa kimataifa kwa wachezaji watano kwenda
kucheza soka la kulipwa nje ya nchi
PATA TAARIFA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment