Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeitaka klabu ya Yanga kuwasilisha rasimu ya
Katiba waliyoipitisha, kwa kuzingatia kuwa Muhtasari wa kikao cha Mkutano Mkuu
wao wa Juni 1 mwaka huu umeainisha baadhi ya marekebisho waliyofanya kwa
tulivyowaelekeza.
Yanga
wanatakiwa kuwasilisha rasimu hiyo kabla ya Oktoba 5 mwaka huu. Ikiwa
itakubaliwa na TFF, itapelekwa kwa Msajili wa Klabu na Vyama vya Michezo ili
waweze kufanya uchaguzi wa viongozi wao.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment