BONDIA Allen Kamote wa Tanga jana
amefanikiwa kuibuka na Ubingwa wa Dunia wa (UBO) baada ya kumshinda kwa pointi
mpinzani wake Osgood Kayuni wa Malawi katika pambano la raundi kumi na mbili
lenye uzito wa kg 61 ambalo lilifanyika kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani
jijini Tanga sikukuu
ya Eid El Haj.
ya Eid El Haj.
Katika mapambano mengine
yaliyochezwa ya utangulizi Bondia Jacob Maganga na Said Mundi walishindwa
kutambiana wakiwa ulingoni baada ya kumaliza mpambano wao huo wa na umwamba wa
kutupiana makonde mpaka mwisho wa mpambano matokeo ni droo.
0 comments:
Post a Comment