STENDI ya Mpya ya Mabasi iliyofunguliwa na Rais Jakaya Kikwete iliyopoeneo la Kange jijini Tanga imegomewa kuhamiwa na madereva wanaofanya safari zao kati ya Lushoto, Muheza, Korogwe, Handeni kwa madai ya kutokuwa na huduma za msingi za kijamii ikiwemo Kituo cha Polisi.
Mgomo huo ulifanywa na mabasi aina ya Coaster yanayofanya safari zakekati ya Tanga mjini kwenda wilayani jana yalilazimika kugoma kuhamiakwenye kituo kipya cha mabasi yaendayo mikoani kwa madai kutokupewa taarifa za kuhamia huko pamoja na kutokuwepo kwa mazingira mazuri kwa
wasafiri wakati wa utoaji huduma hizo.
Mgomo huo ulianza saa moja asubuhi mpaka saa tano asubuhi ambapo magari yanaayofanya safari zake kati ya Tanga,Korogwe,Lushoto,Muheza na Handeni walilazimika kuyapaki magari yao kwenye eneo la uwanja wa Lamore uliopo Masiwani jijini Tanga wakipinga kitendo cha kutakiwa kuhamia kwenye stendi hiyo mpya.
Kutokana na hali hiyo madereva hao walilazimika kwenda eneo la Stendi ya mabasi mpya wakizuia magari mengine yaliyokuwa wakitoka nje ya Tanga kutokiungia ndani ya stendi hiyo hali iliyoleta usumbufu kwa
baadhi ya magari binafsi yaliyokuwa wakitumia barabara iliyopo pembeni ya stendi hiyo kabla ya askari wakiwa na bunduki kufika eneo hilo na kutuliza ghasia.
Mgomo huo ulifanywa na mabasi aina ya Coaster yanayofanya safari zakekati ya Tanga mjini kwenda wilayani jana yalilazimika kugoma kuhamiakwenye kituo kipya cha mabasi yaendayo mikoani kwa madai kutokupewa taarifa za kuhamia huko pamoja na kutokuwepo kwa mazingira mazuri kwa
wasafiri wakati wa utoaji huduma hizo.
Mgomo huo ulianza saa moja asubuhi mpaka saa tano asubuhi ambapo magari yanaayofanya safari zake kati ya Tanga,Korogwe,Lushoto,Muheza na Handeni walilazimika kuyapaki magari yao kwenye eneo la uwanja wa Lamore uliopo Masiwani jijini Tanga wakipinga kitendo cha kutakiwa kuhamia kwenye stendi hiyo mpya.
Kutokana na hali hiyo madereva hao walilazimika kwenda eneo la Stendi ya mabasi mpya wakizuia magari mengine yaliyokuwa wakitoka nje ya Tanga kutokiungia ndani ya stendi hiyo hali iliyoleta usumbufu kwa
baadhi ya magari binafsi yaliyokuwa wakitumia barabara iliyopo pembeni ya stendi hiyo kabla ya askari wakiwa na bunduki kufika eneo hilo na kutuliza ghasia.
0 comments:
Post a Comment