K WABONGE Nimoja ya wasanii wanaochipukia kwa kasi katika gemu la mziki wa Bongo Fleva jamaa anaiwakilisha Tanga ila support bado haijamwendea vizuri kutokea naifahamu kazi yake ya kwanza aliyofanya na Abuu Kisauti ikiwa imetengenezewa AM record kwa maneke "umeniacha" jamaa kiukweli anajua anachokifanya.
Kuwa mmoja ya watu watakao msa support kwa kuzisikiliza ngoma zake na unaweza pia ukatoa maoni yako kupitia page yetu ya facebook Trusted mishen town .com au ukurasa wake pia @K Wabonge Umeniacha
ZISIKILIZE NGOMA ZAKE HAPA:
Home
BURUDANI
KWA WALE WADAU WA K WABONGE WANAOPENDA KAZI NZURI KUTOKA KWAKE UNAWEZA KUZIPATA HAPA ##
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment