Baada ya kufanya vyema kwenye wimbo wa Nazeeka aliomshirikisha kaka yake Sele wa Michano msanii kuoka Tanga anayefanya hip hop Dullah wa Michano safarii kaamua kuja na staili nyingine tofauti ya mabishano makali na Ally Nipishe mkali wa nyimbo kibao ikiwemo " MY" akizungumza na Nechi Makundi dullah alieleza kuwa kutokea ameachia nazeeka mwaka 2013 amekuwa kyimia bila kuwastua raia wanaoupenda mziki wake kwahiyo sasa ni wakati wa kupata kitu hichi kipya .
UNAWEZA UKAMSIKILIZA DULLAH AKIIZUNGUMZIA
BONYEZA HAPA KUUSIKILIZA AU KUUDOWNLOAD
0 comments:
Post a Comment