MHE . UMMY MWALIMU AENDESHA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WASICHANA WA WILAYA YA MUHEZA – TANGA ##


03
Mhe Ummy Mwalimu Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tanga na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais akifungua mafunzo kwa wasichana wa Wilaya ya Muheza juu ya kujitambua na kujithamini katika masuala ya Afya ya uzazi. Mafunzo hayo yamefanyika mwishoni mwa wiki Wilayani Muheza
01
04
Wasichana wa Wilaya ya Muheza wakifanya majadiliano na mawasilisho katika vikundi juu ya changamoto wanazokumbana nazo katika kipindi cha ujana.
02 
Wasichana wa Wilaya ya Muheza wakifanya majadiliano na mawasilisho katika vikundi juu ya changamoto wanazokumbana nazo katika kipindi cha ujana.
Mhe Ummy Mwalimu Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tanga na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya kujitambua na kujithamini Wilayani Muheza mwishoni mwa wiki.
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment