KEPTENI KOMBA AFARIKI DUNIA LEO KWA UGONJWA WA MOYO ##

MAREHEMU  KOMBA ENZI ZA UHAI WAKE
Mbunge wa Mbinga Magharibi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Kepteni John Komba amefariki dunia.

Komba amefariki dunia leo mchana kutokana na ugonjwa wa moyo.

Amefariki dunia kwenye Hospitali ya TMJ wakati madaktari wakijaribu kuokoa uhai.

Komba ndiye alikuwa kiongozi wa kundi la TOT, pia alikuwa msanii akiimba kwaya katika kundi hilo.

Kundi la TOT lilijumuisha sanaa mbalimbali zikiwemo kwaya, dansi, sarakazi na taarabu.
RIP Komba.
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment