NEW VIDEO:MSANII KUTOKA UGANDA BOBI WINE KAAMUA KUJA NA HII YA KISWAHILI _PARADIZO IMEKUWA GUMZO ##

Msanii maarufu wa Uganda, Bobi Wine ameachia video ya wimbo wake mpya alioimba kwa Kiswahili  uitwao, Paradiso.

Wimbo huo unazungumzia umuhimu wa wazazi, na ameutoa mahsusi kwa wazazi wake ambao walishafariki.

Anasema kuwa marehemu baba yake, Sentamu ndiye aliyekuwa akimwambia mara kwa mara kuimba kwa Kiswahili lakini msanii huyo anayejiita Ghetto  President hakuweza kutilia maanani kwakuwa aliona kuna wasanii wengine kama Jose Chameleone wanaoifahamu lugha hiyo vyema na hivyo hakutaka kujiabisha.
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment