Ushindi huu umewafikisha Pointi 55 huku wakibakisha Mechi 2
kumaliza Ligi na kufuatiwa na waliokuwa Mabingwa Azam FC ambao wana
Pointi 45 na wamebakisha Mechi 3.
Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Zacharia Jacob wa Pwani aliyesaidiwa na Hassan Zani na Abdallah Uhako wote wa Arusha, hadi mapumziko Yanga SC walikuwa mbele kwa bao 1-0.
Bao zuri lilifungwa na mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amissi Tambwe dakika ya 40 akimalizia krosi ya winga Simon Msuva. Dakika nane baada ya kuanza kipindi cha pili, Mrundi huyo aliifungia
Yanga SC bao la pili akiuwahi mpira uliotemwa na kipa Abdul Ibadi kufuatia krosi ya Msuva.
Mfungaji huyo bora wa Ligi Kuu msimu uliopita akiwa na Simba SC, Tambwe akakamilisha hat-trick yake dakika ya 59 akiunganisha vizuri krosi ya Mrisho Ngassa- hilo likiwa bao lake la 14 msimu huu.
‘Golden Boy’, Mrisho Khalfan Ngassa akamsetia na Msuva kufunga bao la nne la la 17 kwake msimu huu, akiendelea kuongoza mbio za ufungaji bora.
Bao zuri lilifungwa na mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amissi Tambwe dakika ya 40 akimalizia krosi ya winga Simon Msuva. Dakika nane baada ya kuanza kipindi cha pili, Mrundi huyo aliifungia
Yanga SC bao la pili akiuwahi mpira uliotemwa na kipa Abdul Ibadi kufuatia krosi ya Msuva.
Mfungaji huyo bora wa Ligi Kuu msimu uliopita akiwa na Simba SC, Tambwe akakamilisha hat-trick yake dakika ya 59 akiunganisha vizuri krosi ya Mrisho Ngassa- hilo likiwa bao lake la 14 msimu huu.
‘Golden Boy’, Mrisho Khalfan Ngassa akamsetia na Msuva kufunga bao la nne la la 17 kwake msimu huu, akiendelea kuongoza mbio za ufungaji bora.
Bantu Admin aliifungia Polisi bao la kufutia machozi dakika ya 83 na Tambwe alikabidhiwa mpira baada ya mechi, hiyo ikiwa hat trick ya pili anafunga msimu huu pekee.
Baada ya mechi shangwe za ubingwa zilianza, mashabiki wa Yanga wakiandama kuanzia Uwanja wa Taifa hadi mitaa mbalimbali, ni nderemo na vifijo tu.
Baada ya mechi shangwe za ubingwa zilianza, mashabiki wa Yanga wakiandama kuanzia Uwanja wa Taifa hadi mitaa mbalimbali, ni nderemo na vifijo tu.
Msimamo-Timu za Juu:
1. Yanga Mechi 24 Pointi 55
2. Azam FC Mechi 23 Pointi 45
3. Simba Mechi 24 Pointi 41
4. Mbeya City Mechi 24 Pointi 31
++++++++++++++++++++++++++++
Ushindi huu wa Yanga umepokewa kwa furaha, nderemo na vifijo toka
Nchi nzima ya Tanzania huku Mashabiki wakishangilia Timu hiyo
waliyoibatiza 'Timu ya Wananchi.'
MABINGWA WA TANZANIA
1965 : Sunderland (Dar es Salaam)
1966 : Sunderland (Dar es Salaam)
1967 : Cosmopolitans (Dar es Salaam)
1968 : Young Africans (Dar es Salaam)
1969 : Young Africans (Dar es Salaam)
1970 : Young Africans (Dar es Salaam)
1971 : Young Africans (Dar es Salaam)
1972 : Young Africans (Dar es Salaam)
1973 : Simba (Dar es Salaam)
1974 : Young Africans (Dar es Salaam)
1975 : Mseto Sports (Dar es Salaam)
1976 : Simba (Dar es Salaam)
1977 : Simba (Dar es Salaam)
1978 : Simba (Dar es Salaam)
1979 : Simba (Dar es Salaam)
1980 : Simba (Dar es Salaam)
1981 : Young Africans (Dar es Salaam)
1982 : Pan African (Dar es Salaam)
1983 : Young Africans (Dar es Salaam)
1984 : KMKM (Zanzibar)
1985 : Maji Maji (Songea)
1986 : Maji Maji (Songea)
1987 : Young Africans (Dar es Salaam)
1988 : Coastal Union (Tanga)
1989 : Malindi (Zanzibar)
1990 : Pamba (Mwanza)
1991 : Young Africans (Dar es Salaam)
1992 : Malindi (Zanzibar)
1993 : Simba (Dar es Salaam)
1994 : Simba (Dar es Salaam)
1995 : Simba (Dar es Salaam)
1996 : Young Africans (Dar es Salaam)
1997 : Young Africans (Dar es Salaam)
1998 : Maji Maji (Songea)
1999 : Prisons (Mbeya)
2000 : Young Africans (Dar es Salaam)
2001 : Simba (Dar es Salaam)
2002 : Simba (Dar es Salaam)
2003 : Hamna Bingwa
2004 : Simba (Dar es Salaam)
2005 : Young Africans (Dar es Salaam)
2006 : Young Africans (Dar es Salaam)
2007 : Simba (Dar es Salaam)
2007–08 : Young Africans (Dar es Salaam)
2008–09 : Young Africans (Dar es Salaam)
2009–10 : Simba (Dar es Salaam)
2010–11 : Young Africans (Dar es Salaam)
2011–12 : Simba (Dar es Salaam)
2012–13 : Young Africans (Dar es Salaam)
2013–14 : Azam (Dar es Salaam)
2014-15 : Young Africans
0 comments:
Post a Comment