Tuzo za za Bingwa
(2015) za nchini Kenya zimetolewa Ijumaa hii (Jan 29)
jijini Nairobi,
Kenya ikiwa ni mara yake ya pili kufanyika.
Bingwa Awards
Miongoni mwa
wasanii wa Tanzania waliokuwa wakichuana kwenye kipengele
cha ‘Msanii wa
Mwaka Tanzania’ kwenye tuzo hizo ni pamoja na Diamond,
Alikiba, Vanessa
Mdee, Joh Makini, Ommy Dimpoz na Lady Jaydee. Diamond
ndiye ameibuka
mshindi wa kipengele hicho.
Hii ni orodha
kamili ya washindi:
*East Africa
Artist of The Year* – Sauti Sol
*Artist of The
Year Kenya* – The Kansoul
*Artist of The
Year* – Bahati
*New Artist of
The Year* – Dufla Diligon
*Songwriter of
The Year* – Visita
*Artist of The
Year Tanzania* – Diamond Platnumz
*Artist of The
Year Uganda* – Cindy Sanyu
*Artist of The Year
South Sudan* – Mary Boyoi
*Artist of The
Year Rwanda* – Knowless
*Dialect Artist
of The Year* – Ken wa Maria
*Performer of the
Year* – H Art The Band
*Ever Relevant
Artist of The Year* – Wyre
*Showbiz writer
of The Year* – Manuel Ntoyai ; The People Daily.
*Showbiz
Personality of The Year* – Willis Raburu
*Showbiz Magazine
of The Year* – Pulse Magazine
*East Africa DJ
of The Year*– Dj Joe Mfalme
*Deejay of The
Year* – Deejay Crossfade
*Video of The
Year* – Papa Dennis
*Video Director
of The Year *– Enos Olik
*Entertainment
Site of The Year* – Mpasho
*Come Back of The
Year* – Octopizzo
*Album of The
Year* – Legends of Kaka -King Kaka
*Song of The Year
*– Fimbo ya Tatu-Grandpa
*Verse of The
Year *– Gabu -P-Unit
*Radio Station Of
the Year*– Radio Maisha
*Radio Presenter
Of The Year*– Rashid Abdalla – Qfm
*East African
Comedian Of The Year* -Jalango’o
*Legendary Award
Of The Year*– Fred Obachi Machoka; Radio Citizen
*EAST AFRICAN
Record label of the year*– Grandpa Records
0 comments:
Post a Comment