KAMERA 2000 ZAWASHWA ISLAMABAD

Maafisa nchini Pakistan wamewasha karibu kamera 2000 za teknolojia ya juu katika mji mkuu Islamabad.
Kamera hizo zimetundikwa kwenye majengo ya serikali na maeneo ya kibiashara kote mjini humo.
Kamera hizo zitafuatiliwa kutoka kwa kituo kipya kilichopewa jina (bomb-Proof).
Mradi huo uliofadhiliwa na kampuni ya kichina ya Huawei, ulichukua muda wa miaka saba kukamilika na umekumbwa na kashfa za ufisadi.
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment