Wikiendi hii rapper, Kanye West alilazimika kuvunja show yake baada
ya mashabiki kuwa wengi zaidi na kupelekea kuvunjika kwa show hiyo
kutokana na hofu ya usalama.
Show hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa Webster Hall, New York
ilihudhuriwa na mashabiki zaidi ya 4000 huku ukumbi huo ukiwa na uwezo
wa kuchukua mashabiki 1500 tu hali iliyopelekea waanzishe fujo na
kuharibu mali za watu.
Hata hivyo Kanye West amepanga kufanya show nyingine kwa kushtukiza baada ya hii ya New York kuvunjika.
Tazama video hapa
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment