KOCHA MKUU WA COASTAL UNION YA TANGA,YUSUPH CHIPPO AMESEMA KUWA MALENGO YAKE MAKUBWA NI KUHAKIKISHA TIMU HIYO INAPATA USHINDI DHIDI YA MBEYA CITY ##

KOCHA MKUU wa Coastal Union ya Tanga,Yusuph Chippo amesema kuwa malengo yake makubwa ni kuhakikisha timu hiyo inapata ushindi dhidi ya Mbeya City mchezo unaochezwa kesho kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.

Akizungumza LEO,Kocha Chippo amesema kuwa kuelekea mechi hiyo hakuna hata mchezaji mmoja ambaye ni majeruhi hivyo wana uhakika wa kuhakikisha wanapata matokea mauziri kwenye mechi hiyo.

Coastal Union iliwasilia mkoani Mbeya juzi ambapo leo ilifanya mazoezi yake kwenye uwanja wa soka Polisi na uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya ikiwa kwenye maandalizi ya mwisho kabla ya kuvaana na wapinzani wao hao.

  “Sisi tunapambana kuhakikisha matokeo mazuri yanapatikana kwa sababu hilo ndilo lengo letu kuu hii inatokana na usajili wa nguvu tulioufanya msimu huu na umakini wa wachezaji tuliokuwa nao “Amesema
Chippo.

Coastal Union itavaana na Mbeya City kesho kwenye uwanja huo ikiwa ni muendelezo wa Ligi kuu soka Tanzania bara ambapo mchezo wa kwanza ilicheza na Simba SC kwenye uwanja wa Taifa na kutoka sare ya
kufungana mabao 2-2.

Kwa upande wake,Kocha wa makipa,Razack Siwa amesema kwenye idara yake
hiyo.
ya walinda milango ipo imara kuhakikisha wanakuwa imara kwenye mechi
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment