MWANA MUZIKI WA KIMATAIFA WA MIONDOKO YA HIP HOP AMBAYE PIA NI MTAYARISHAJI WAMUZIKI NA PIA MWIGIZAJI NA MWEKEZAJI,CLIFFORD JOSEPH HARRIS J (T.I) ##


Mwana muziki  wa kimataifa wa miondoko ya Hip hop  ambaye pia ni mtayarishaji wamuziki na pia  mwigizaji  na mwekezaji,Clifford joseph Harris  jr , alimaarufu kama T.I amethibitishwa  rasmi na kampuni ya Serengeti breweries kama  mwanamuziki wa kimataifa atakayetumbuiza katika  kilele cha shangwe za Serengeti fiesta zitakazo fanyika jijini dar es salaam October 18 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini  dar es salaam  mkurugenzi wa masoko wa Serengeti breweries Ibraim mafuru amasema kuwa wametia saini na mwanamuziki huyo kwaajili ya kutumbuiza jukwaa la serengeti kwa mwaka huu kwasababu ni msanii mkubwa ambaye ..
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL),Ephraim Mafuru na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo  Allan Chonjo
PATA TAARIFA ZAIDI
Kwa upande wake mkurugenzi wa prime  time promotion Ruge mutahaba  amesema kuwa  wameamua kumleta msanii T.Ikwa kuwa wanaelewa nini watanzania wanataka
Zaidi na mutahaba


PATA TAARIFA ZAIDI




Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment