UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA MUDA WA SAA 24 ZIJAZO
KUANZIA SAA 3:00 USIKU WA LEO 10/10/2014. [Utabiri huu unahusu mkoa wa Tanga na maeneo
jirani]
LEO USIKU:
Wilaya ya
Tanga: Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo
machache.
Wilaya ya
Muheza: Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache.
Wilaya ya
Pangani: Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache.
Wilaya ya
Korogwe: Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache.
Wilaya ya
Lushoto Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache.
Wilaya ya
Handeni Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache.
Wilaya ya
Kilindi: Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache.
KESHO MCHANA
Wilaya ya
Muheza: Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua.
Wilaya ya
Pangani: Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua.
Wilaya ya
Lushoto: Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua.
Wilaya ya
Handeni: Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua.
Wilaya ya
Kilindi: Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua.
[Mikoa ya
Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya
Dar es Salaam, Morogoro na Pwani]:
[Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua nyepsi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
|
[Mikoa ya
Dodoma na Singida]:
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA.
MIJI
|
KIWANGO
CHA JUU
|
KIWANGO
CHA CHINI
|
MAWIO
|
MACHWEO
|
Tanga
|
31°C
|
23°C
|
12:07
|
12:15
|
Muheza
|
30°C
|
20°C
|
12:07
|
12:15
|
Pangani
|
29°C
|
18°C
|
12:07
|
12:15
|
Lushoto
|
23°C
|
14°C
|
12:07
|
12:15
|
Korogwe
|
28°C
|
18°C
|
12:07
|
12:15
|
Handeni
|
30°C
|
20°C
|
12:10
|
12:19
|
Kilindi
|
23°C
|
19°C
|
12:07
|
12:15
|
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 10/10/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Post a Comment