MAZOEZI YA SIMBA NIKUENDELEA KUUMIZWA DAILY KICHAPO KINGINE HICHI HAPA KUTOKA KWA COSMOS ##


SIMBA SC imefungwa mabao 2-0 na Jomo Cosmos mjini Johannesburg  jioni hii .

Pamoja na kufungwa na timu hiyo ya Daraja la Kwanza, fahamu kwamba Huo ni mchezo wa tatu kwa Simba SC katika kambi yake ya Afrika Kusini tangu ilipofika huko  Oktoba 8, mwaka huu kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wao, Yanga SC Jumamosi wiki hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 

Katika mchezo wake wa kwanza, Simba SC ililazimishwa sare ya bila kufungana na Orlando Pirates kabla ya kufungwa mabao 4-2 na Bidvest Wits.

Simba SC inatarajiwa kurejea Dar es Salaam Ijumaa tayari kwa mchezo wa Jumamosi, unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini.

NANI MTANI JEMBE ? 2014 KITAELEWEKA KAMA KIPINDI KILICHOPITA?
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment