Akiwataja watuhumiwa hao kamanda wa jeshi la
polisi mkoa wa Tanga Fresser Kashài amesema ni pamoja na Adrew Augustino mwenye umri wa miaka 28 na mwenzako Jesse Kajuna mwenye umri
wa miaka 30 wote wakiwa ni wakazi wa
jiji la Tanga.
Aidha kamanda amesema kuwa watuhumiwa hao wametiwa mbaroni
na watafikishwa mahakamani kujibu shitaka hilo.
Jeshi la polisi mkoa wa tanga linatoa rai kwa
wananchi wote kuendelea kutoa ushirikiano kwa kuwafichua wahalifu wote kwenye
maeneo yao wanayoishi ili wananchi wema ambao ndiyo walio wengi waendelee na
shughuli zao za kujiletea maendeleo bila bughudha.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment