HAINA KUFELI @IZZO_BIZNESS FEAT @ GNAKOWARAWARA NI WIMBO MPYA KUTOKA KWA IZO BIZNESS WIMBO WA TATU KWA MWAKA HUU WA 2014 MSIKILIZE AKIZUNGUMZIA MAANA YA WIMBO HUO NA MIPANGO YAKE KATIKA GEMU.##


HAINA KUFELI @IZZO_BIZNESS FEAT @ GNAKOWARAWARA ni wimbo mpya kutoka kwa izo bizness wimbo wa tatu kwa mwaka huu wa 2014 ukianza na tumogele ikafuata walala hoi na hii ya HAINA KUFELI 


Maana ya wimbo wake wa HAINA KUFELI ni nyimbo ambayo inawahusu watanzania walio  katika  maisha ya kawaida  hii ni kama motivation kwao kwa wale walio na ndoto za kufika mbali kupambana kama ukihitaji kuwa mwanamuziki,mcheza mpira mtangazaji ,mwanamitindo lazima upambane kufika pale ambapo unahitaji kufika  lengo ni kusimama kwa kauli moja kwa hicho unachohitaji kukufanya ukiamini hutoshindwa. 

Kwa upande wake izo b ameleza kuwa changamoto kubwa inayomkabili kufanya video na madirector wa nje na location za nje ni kutokana na kuwa wingi wa mambo na kuhitajika kujipanga ila nae anatamani kufanya hivyo kwasababu anaamini kuwa hata m buyu ulianza kama mchicha kwa  hiyo ni mipango yake hivyo bado anazichanga ili kufanya kazi bora zaidi.

Kama uliusikiliza wimbo huu kwa upande wa kiitikio  alipiga G WARAWARA kutoka katika kundi la WEEUSI  yeye anazungumziaje baada ya kuwa moja kati ya wasanii walionekana kupewa kolabo nyingi kwa  mwaka huu 2014
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment