KUBUNI JEZI MPYA YA TIMU YA TAIFA YENYE MCHANGANYIKO WA RANGI YA BENDERA YA TAIFA MWISHO KESHO ##

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limekaribisha wabunifu, kubuni mwonekano wa jezi mpya za timu ya Taifa kwa mechi za nyumbani na ugenini ambapo mwisho wa kufanya hivyo ni kesho (Novemba 15 mwaka huu). Ubunifu ni lazima uzingatie rangi za bendera ya Taifa.



Mshindi wa jezi ya nyumbani atapata sh. 1,000,000 (milioni moja), na mshindi wa jezi ya ugenini atapata pia sh. 1,000,000 (milioni moja).




Ubunifu utumwe kwenye anwani ya barua pepe: info@tff.or.tz au uwasilishwe kwa CD au flash zikiwa katika mfumo wa PDF katika ofisi za TFF zilizopo ghorofa ya tatu katika Jengo la PPF Tower, Mtaa wa Ohio na Garden Avenue.



Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kwa simu namba; 0713 210242 au 0714 634838.
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment