MOA NI KIJIJI KILICHOPO WILAYA YA MKINGA KILICHO BARIKIWA KUWA NA MANDHARI NZURI KUTOKANA NA KUWA PEMBEZONI MWA BAHARI YA HINDI ##

Moja kati ya wilaya nane katika mkoa wa tanga ni  wilaya mkinga yenye mandhari zuri na vivutio vingi pia  ikisimamiwa  kwa uzuri na mkuu wa wilaya hiyo BI.MBONI MGAZA,

Katika sikukuu hii ya eid el hajj nilifanikiwa kutembetembea  katika kijiji cha moa kilichopo pembezoni mwa bahari ya hindi   kilichopo wilayani hapo kikiwa na wakazi wengi wanaotegemea shughuli za uvuvi .

MKUU WA WILAYA YA MKINGA BI .MBONI MGAZA
Nikaona ni vyema kukushirikisha kile nilichokiona hapa kwa njia ya picha unaweza kuzitazama hapo chini.
UFUKWE WA BAHARI YA HINDI KATIKA MJI WA MOA
MUONEKANO WA NGALAWA ZIKIWA BAHARINI

WAKAZI WA MOA WAKIWA KWENYE HARAKATI ZA MAANDALIZI YA KUINGIA BAHARINI TAYARI  KWA UVUVI

BAADA YA SHUGHULI YA USIKU MZIMA HICHI NDICHO WAVUVI WALICHOREJEA NACHO ( SAMAKI  AINA YA VISUMBA ) WAKIFANYIWA USAFI KWA AJILI YA KUUZA



MOJA KATI YA MADARAJA YALIYOKUWA YA KITUMIWA NA WAKOLONI ENZI HIZO KUPAKIA MIZIGO (KATANI) KUTOKA NCHI KAVU KUELEKEA KATIKA MELI ZILIZOKUWA ZIMETIA NANGA MWISHO WA DARAJA HILO KWA UPANDE WA BAHARINI.

MSIKITI ULIOPO PEMBEZONI MWA UFUKWE WA MOA ULIOKUWA UKITUMIKA NA WAKOLONI .

HICHO NDIO CHAKULA PENDWA KWA WATU WA MOA KUTOKANA NA URAHISI WA KUPATIKANA KWAKE.

Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment