Lawize
ametambulisha wimbo wake kwa mara ya kwanza kwa wakazi wa tanga kupitia bongo
bab kubwa Mwambao Fm Tanga.
Hii ni
project yake ya tatu ya kwanza ilikuwa ya Turuke aliyofanya na Tunda Man
na nyingine ni ya ugali na dagaa aliyofanya na Abdu Kiba.
" Hawana
wema ni ngoma ambayo nimebadilika wengi wamenizoea nikiwa na imba ila for
this time nimebadilikia nimekuja kwenye kuchana kwahiyo kunautofauti
mkubwa sana amesema Lawize"
Unaweza
ukamsikiliza zaidi hapo chini
Wimbo huu
mpya kutoka kwa Lawize amemshirikisha Neyba wimbo unaitwa “Hawana Wema”
Studio Mazuu Records
0 comments:
Post a Comment