UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA MUDA WA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3:00 USIKU WA LEO 20/03/2015


WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA MUDA WA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3:00 USIKU WA LEO 20/03/2015.
[Utabiri huu unahusu mkoa wa Tanga na maeneo jirani]
LEO USIKU:
Wilaya ya Tanga: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo.
Wilaya ya Muheza: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo.
Wilaya ya Pangani: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo.
Wilaya ya Korogwe: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo.
Wilaya ya Lushoto: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo.
Wilaya ya Handeni: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo.
Wilaya ya Kilindi: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo.

KESHO MCHANA
Wilaya ya Tanga: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.
Wilaya ya Muheza: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.
Wilaya ya Pangani: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.
Wilaya ya Lushoto: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.
Wilaya ya Handeni: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.
Wilaya ya Kilindi: Inatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.


[Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro]:



Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika Maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.


[Mikoa ya Dodoma na Singida]:



Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vifupi vya jua.

[Mikoa ya Kilimanjaro, Manyara na Arusha]:



Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.
TAHADHARI:
VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA TANGA,
DAR -ES -SALAAM, PWANI, MOROGORO, LINDI, MTWARA PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA.
MIJI
KIWANGO CHA JUU
KIWANGO CHA CHINI
MAWIO
MACHWEO
Tanga
31°C
24°C
12:29
12:34
Muheza
31°C
23°C
12:29
12:34
Pangani
30°C
23°C
12:29
12:34
Lushoto
25°C
15°C
12:33
12:38
Korogwe
30°C
21°C
12:33
12:38
Handeni
29°C
20°C
12:33
12:38
Kilindi
30°C
20°C
12:33
12:38

Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 20/03/2015.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment