MATUKIO BUNGENI MJINI DODOMA ##

01
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Mary Mwanjelwa, Bungeni mjini Dodoma Mei 14, 2015.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
02
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akichangia bungeni mjini Dodoma Mei 14, 2015.
03
Mbunge wa Viti Maalum, Mary Chatanda akichangia bungeni mjini Dodoma Mei 14, 2015.
05
Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akizungumza na Mkuu wa mkoa wa  Njombe, Dr. Rehema  Nchimbi (kushoto) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia kwenye viwanja vya Bnge mjini Dodoma Mei 14, 2015.
Share on Google Plus

About trustedmishen

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment