Hatimaye Alikiba
na Sauti Sol wameshoot video ya collabo yao.
Video hiyo
imefanyika wiki hii mjini Mombasa, Kenya. Kampuni ya GorillaFilms iliyochini
ya muongozaji Justin Campos na mke wake Candice,ilisafiri hadi
Mombasa kwaajili ya kushoot video hiyo.
Candice alishare
picha ya behind the scenes kwenye Instagram na
kuandika: /Guess
what we have been up to? @sautisol @iamchimano
@bienaimesol
@officialalikiba @gorilla_films @icandicam #Mombasa #kenya [movie_camera]
[sunglasses] #onset #setlife #tanzania #africa #anotherone./
Collabo hiyo
ilifanyika mwaka jana jijini Nairobi, Kenya.

0 comments:
Post a Comment