Manager Wa Kinglion (Kushoto) Bw. Arnold Lyimo na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la polisi, CP Liberatus Sabas (Kulia) |
Kampuni Ya Kinglion Tanzania Katika Kujitoa Kwa Jamii Kwa Siku Yawapendao Imetoa Zawadi Ya Pikipiki Kumi Kwa Jeshi La Polisi Tanzania.
Lengo la zawadi hizo ni kulisaidia jeshi hilo kuweza kukabiliana na vitendo vya kiualifu kwa uharaka na ufanisi zaidi.
Mkurugenzi Wa Kinglion (Kushoto) na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la polisi, CP Liberatus Sabas (Kulia) |
0 comments:
Post a Comment